Nimepima mkojo leo naambia kuna few pus cell. Dokta kasema ni UTI. Bado sijachukua dawa maana wao wakikuandikia inabidi ununue kwao.Ni dawa gani ambayo ni nzuri..
Tena wanataka 35 kwa tgo pesa mwenyewe anajiita madenge shaffy 0656311676 kani2mia sms ni2me vyet na hela na asaidie kupata kaz then first salary nimpe laki tatu wiz mtupu.
Habari zenu wana jamii forum? Naomba msaada nasumbuliwa na tatizo la Ulimi unakuwa na vidonda nimeenda hospital nikaambiwa ni fangasi na kuandikiwa dawa za kumeza na mouth wash/gel lakini tatizo halijaisha kuna wakati huwa hakuna dalili kabisa hata kama sijatumia dawa.Naombeni msaada wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.