Search results

  1. mangulumbwisi

    Ninapitia wakati mgumu sana, msichana anataka kuvunja familia yangu

    Mh yani wewe mwanaume ni mtu wa ajabu sana, Tena hata haya huna unajitangaza kabisa unatembea na mwanafunzi!! Umesahau umuhimu wa mke wako?? Huelewi maana ya Mke??????? Yaani umetekwa kiasi kwamba mpaka anachukua namba ya simu ya Mke wako, Wewe kaka huna heshima kabisa yaaani wewe sijui...
  2. mangulumbwisi

    Miaka 9 katika ndoa - Simuelewi mume wangu naomba ushauri

    Kabla hamjaenda popote kaa na Mume wako, Muulize, Wewe unachoogopa nini? Kuuliza unaogopa, wanaume huwa ni wazito sana kusema, Wewe kama unampenda kweli Mume wako, Muulize kama kuna tatizo la Hospital Mwende, Kama ni la Kiroho mwende kwa mchungaji hiyo hali siyo ya kawaida Mama. Wewe...
  3. mangulumbwisi

    Wachungaji, hasa makanisa yanayoitwa ya kiroho

    Utakuwa una tatizo huenda una Mapepo, nenda ukaombewe, uponywe
  4. mangulumbwisi

    Jinsi ya kupika tambi

    Samahani nje ya mada, Wapi nitapata jazia meal
  5. mangulumbwisi

    Kuzaa kwa upasuaji

    Inategemea Dr ameshauri nini? Kusubiri au kufanya upasuaji kabla. Kuanzia wiki ya 36, 37,38,39 mpaka 40, mtoto anakuwa amekamilika kabisa.
  6. mangulumbwisi

    Mwanamke mjamzito kupata kichefuchefu na kutapika: Chanzo na tiba yake

    Pole sana , hiyo ni hali y akawaida, usitoe mimba ni dhambi, nenda hospitali ya Serikali iliyokaribu na wewe jieleze kwa Dr utasaidiwa tu, Mimi nilikuwa na tatizo kama hilo miezi mitatu iliyopita, sasa niko fiti , Kunadawa inaitwa NOSIC na nyingine ni Domperidon ( sina hakika na spelling)...
  7. mangulumbwisi

    TANZIA: Bwana ametwaa - Jina lake lihimidiwe

    Pole sana, Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu dada. ASANTENI
  8. mangulumbwisi

    Why did i get married??

    Huwa unabadilika na kuwa ushindi
  9. mangulumbwisi

    Why did i get married??

    Dah pole sana inaelekea umechanganyikiwa kweli , lakini ndoa inataka uvumilivu, Kaeni mzungumze mmalize tofauti zenu, na wewe mbona umejikataa mwenyewe, yaani umekata tamaaa sana, haitakiwi kukata tamaa,
  10. mangulumbwisi

    Nifanye nini ili kuzuia kutapika mara kwa mara

    Asante bwana wewe unaleta utani wakati mimi naumwa sawa bwana.
  11. mangulumbwisi

    Nifanye nini ili kuzuia kutapika mara kwa mara

    JF Dr Nina ujauzito wa miezi mitatu, tatizo ninatapika mara kwa mara, nilienda hospital nikapewa dawa (NOSIC) nilimeza kwa muda wa wiki 1 zilisaidia kidogo ila tatizo linaendelea, pamoja kuwa nameza dawa lakini bado narudisha chenji ile mbaya mpaka hata kwenye daladala.Je nile nini matunda...
  12. mangulumbwisi

    Dawa ya kuondoa mabakamabaka meusi

    Dr. Mzizimkavu Nina ujauzito wa miezi mitatu, ninatapika mara kwa mara, je kunavitu au matunda ninayoweza kula ili hali hii ipungue?? nilienda hospital nikapewa dawa funali NOSIC zilinisaidia kidogo lakini hali ikawa palepala nakunywa na naendelea kutapika.
  13. mangulumbwisi

    Tahadhari tohara kwa watoto wa kiume!!!!! ALIJUMAA KARIAKOO ni hatari

    Pole sana mpe na pole mtoto , mambo ya watoto wazazi inatupasa kuwa makini sana, Nashukuru kwa kuweza kutukumbusha. Poleni sana
  14. mangulumbwisi

    Nawaombeni ushauri kuhusu huyu mtoto

    mi mwenyewe naona hata we mwenyewe haupo sawa sawa, Hivi wewe ni baba gani ambaye huna hatachembe ya uchungu, huruma, kujali na kufikiri??????Mtoto ameshakudokezea kinachoendelea kati ya huyo Baba wa kambo, Unataka usikie amebakwa au ana mimba ndo utachukua hatua, au ulitaka akwambie aje...
  15. mangulumbwisi

    tiba ya ngozi.

    Ni kweli tatizo la ngozi limekusugu sana. Binafsi ninasumbuliwa sana na mba kwenye ngozi(Utangotango) mgongoni na mikononi, Je tiba yake ni nin, hauwashi na wala siwezi kumwambukiza mtu, maana nina mtoto mdogo nahisi angeshakuwa amepata, nimefanya utafiti kiasi nimegundua kuna lotion...
  16. mangulumbwisi

    Mba kichwani (Dandruff): Fahamu Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Habari JF Doctors? naomba msaada wa kuhusu dawa sahihi ya mba au utangotango kwenye ngozi, hauwashi ila unanikera sna uko mgongoni na kwenye mabega.
  17. mangulumbwisi

    Hospitali gani bora ya Uzazi?

    Muhimbili fast track ni nzuri sana japokuwa ni gharama kiasi chake, ila unahudumiwa vizuri sana, Gharama inategemea kwani kuna kujifungua kawaida kuna bei yake na kwa upasuaji bei yake pia, , . Kwani mimi nilifanyiwa upasuaji 2010 kwa laki sita na nusu. sijui kwa sasa.( NILIHUDUMIWA...
  18. mangulumbwisi

    wiki ya 38 ya ujauzito naweza kujifungua muda wowote?

    Pole mwaya, huwa inategemea mwingine anaweza asimalize wiki 40, au akazidisha, au akapunguza,sasa jiweke tayari na vifaa vyako vyote, uwe tayari wakati wowote kuanzia sasa, pia uwe na mtu usikae peke yako , japokuwa uchungu wa mimba ya kwanza huwa ni mrefu kiasi, Pole Mungu akusimamie .
Back
Top Bottom