Nafikiri kuna haja ya kusoma taarifa yote yote kutoka kwenye cable, link hii hapa Cable Viewer , Hii inaonyesha ni jinsi gani viongozi waandamizi wa serikali wanavyojua kuwa kikwete ni weak, lakini wanvumilia tu kwa sababu ya matumbo yao. Tusubiri tutaona Mengi
Jamani, Mkiona mambo ni hivyo mjue Hoseah kaagizwa na aliyemteua (JK), NA MKIONA Hivyo mjue anayegombea usipika ni (Lowassa, Rostam na JK) Kupitia kwa Chenge, haingii akilini kwamba Hoseah anaweza kutoa taarifa kama hii wakati ikulu haina habari.
Muheshimiwa Rais Kikwete atalihutubia bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania siku ya alhamisi. Katika hotuba yake hiyo mojawapo ya mambo atakayozungumzia ni tuhuma za ufisadi zinazowakabili baadhi ya viongozi waandamizi wa serikali yake.
Sehemu mojawapo ya hotuba hiyo itazungumzia mapambano...
Tumekuwa tukiandika mara nyingi lakini watu wanatupuuza wakifikiri sisi ni wachonganishi lakini ukweli ni kwamba TAKUKURU inaenda pabaya, morale ya wafanya kazi ipo chini.
sasa twende kwenye hoja yenyewe.
1.Kuhusu uchunguzi wa Richmond na TAKUKURU Mambo yafuatayo yafahamike.
Taarifa...
Tumekuwa tukiandika mara nyingi lakini watu wanatupuuza wakifikiri sisi ni wachonganishi lakini ukweli ni kwamba TAKUKURU inaenda pabaya, morale ya wafanya kazi ipo chini.
Sasa twende kwenye hoja yenyewe.
1.Kuhusu uchunguzi wa Richmond na TAKUKURU Mambo yafuatayo yafahamike.
Taarifa...
Wanatakukuru,
11.09.2007
Mkurugennzi Mkuu,
Takukuru,
S.L.P 4865
Dar es Salaam
Yah: kilio cha wanakukuru tanzania
Tunapenda kuchukua fursa hii kwanza kukupongeza kwa kuteuliwa na kisha kuapishwa kwako kama mkurugenzi mkuu wa takukuru. Hongera sana.
Ni kwa uteuzi huo tunaamini mhe. Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.