kiukweli sikubaliani na mawazo yako ila nipo tayari kufa kutetea haki yako ya kutoa mawazo na maoni. hoja yako haina msingi kwa sababu unawashambulia watu sio vitu walivyosema, tuache ushabiki kuna mambo mengi ya kuafanya na kujadili kuhusu maendeleo na ustawi wea taifa ila haya ya kwako ni majungu
chama hakiwezikufa
1. chama lazima kianze kuwa na ushabiki/ washabiki(popularity) baada ya kujulikana kwa sera madhubuti, misingi na mikakati yake washabiki wanajiunga kuwa wanachama, mfano ulio hai ni wanachama wengi wa ccm ukiwauliza hawana sababu za msingi za kuwa wanachama wa hicho chama cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.