Kwa wale wapenzi Wa Ubuyu Wa Zanzibar wenye utamu Wa kipeee unapatikana kwa shilingi 1000 tu kwa paketi. Ukihitaji kuletewa kwa wale ambao wapo dar... delivery cost/gharama ya kuletewa ni Tshs 3000. Mikoani pia tunatuma gharama ya kusafirishia italipwa na mteja . Kwa mawasiliano tupigie...
Habari wanajamii,
Nauza ubuyu Wa Zanzibar, 1000 kwa packet Moja. Nipo Dar es salaam.
Kwa mawasiliano piga 0685091891. Tupo tayari kukusikiliza na kukuhudumia mteja wetu.
Karibuni sana
Aje wandugu? Eti ni kwanini katika mahojiano ya kazi na wahindi wanauliza maswali ya familia yako. Mfano baba na mama yako wanafanya kazi gani? Kwenu mpo wangapi?
Kabla haujaajiriwa referee huwa anapigiwa simu na kuulizwa juu yako bila ww kujua ili anayekuajiri apate opinion za referee wako kuhusu ww. Mm nmeshuhudia m2 aliyeandikwa referee akipigiwa simu kuulizwa kuhusu huyo anayetarajia kuajiriwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.