Geita Ya 2020 siyo Geita ya 2015 ni kweli kuna kazi kubwa imefanyika kwa serikali ya awamu ya Tano,Hongera sana Mhe Pombe Magufuri Rais wetu mpendwa ,hongera sana mbunge wa Geita mjini Kamanda kanyasu Hongera sana mwenyekiti wa halmashauli na madiwani wote ,hongera sana mkurugenzi wa mjini kwa...
Kuna Waziri mmoja ujeruman katika thesis yake ya PhD alinakiri taarifa za mtu nanhakuonyesha kuwa amekopy popote aliacha Ngazi kwa kuwa PHD hiyo iliingia dosari, leo wiki ya Tatu Daudi Bushite Bado yuko ofisini pamoja Na dunia Nzima kujua wazi kuwa Ana Elimu fake, kwa kuwa kiutamaduni tu wa...
Aibuuuuuuu tupu tutee watu wote siyo mmoja ,wakat JPM ameanza vita ya vyetu Feki wote mlisema safi mkakataa kusema aache tuangalie utendaji leo David Bushite mnamtetea eti tuangalie utendaji,Acheni double standard
Mimi siyo mbunge wa kukurupuka, ninasema ninachokijua na nilichofanyia utafiti, unaweza kwenda REA website utakuta maeneo yao ya kazi. Wanaosema kanyasu mtu mitaaan wanichunguze upya nawapa muda.
Nimesoma comments za wadau kuhusu kanyasu Mbunge wa Geita, kwanza niwashagae wote mnaoendekeza vijenbe bila kujua , Jimbo la Geita mjini lina kata 13 kama ifuatavyo kalangalala
Mtakuja
Bombambili
Nyankumbu
Buhalahala
Kasamwa
Bung'wagoko
Bulela
Shiloleli
Nyanguku
Ihanamilo
Mgusu
KanyalaUkiiondoa...
badala ya kuomba uongozi Kwa kumshambulia Lowasa Mimi nazan alipaswa kutwambia yrye Kwa kuwa Na historian ndefu sana ya utumishi tunamkumbuka Kwa lipi? amewahi kufanya ninj kama Legacy? huwezi kujisifu Kwa kuzeekea serikalini Na ukawa Maskini,alafi yeye pia anatoa Rushwa Na ushahidi...
Kama taarifa ya habal watanzania hawaangalii muda ukifika waki buisy na Diamond, itakuwa vitabu vya katiba,?? Tuachen kupoteza muda,watanzania wengi hufanya mambo bila kufikili, angalua wavuta bangi sasa wamejaa bungen utasema mpiga kula alipata muda wa kufikil kabla hajapiga kula!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.