Habari wanachama,
Nauliza uimara wa hizi dawa siku hizi zimezagaa mitandaoni na biashara za network marketing. Je zinasaidia kweli? Kama za hormones imbalance.
Naomba ushuhuda wa waliowahi tibika nazo. Eg, ulcers, uvimbe wa kizazi, hormones etc.
Umeona eeh.. ni watanzania wavivu wanaokalia kupost na kumchafua ndyo wanaona wivu. Fanyeni kazi za maana sio kukalilia ushushu usikuwa na tija mitandaoni.
very well stated, wasiojua thaman ya ndoa or ya mwanamke. either husemaga kama mtu alikua`bondwd so much na mwenzie they cant handle it na si ujinga they are strong to go thru that stage and eventually they will get over it or get back to their wivws.
hahahah puumbafff... sasa hyo date kutoka tunaenda angaliana uso na kujaza tumbo maji? aaalaah, wewe kama uko broke sema ila acha wenzio walipie plate bhana.. hahah
honestly, mimi nimekuelewa sana, umenifanya nimewaza vingi about myself, wakati mwingine ile urge ya kugombana na mtu wa karibu huja coz tu sina uvumilivu na pia nikiona wengine hawani vumilii naumia kweli.. nadhani pia iliniharibia mahusiano yangu wa mwisho, bf yy alikuwaga na kamsemo he has...
this makes lots sense my friend.. and its both ways! challenge add some lil more appetizer kwa r,ship kwa mwanaume na mwanamake, ila tusizidishiane tuu.
I am 32 years old. Me and my ex hubby dated for six years, I started dating him whilst I was in grade 12, I was 19 years old. We were best of friends, I waited until he completed college and started work, my family and his family then met, we got married and had a son. (7 years old now).
My...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.