hatua nyingine, Rais Magufuli jana
alikutana na kufanya mazungumzo na
Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha
Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba.
Chanzo cha kuaminika kiliiambia MTANZANIA
jana kuwa pamoja na Profesa Lipumba
kumpongeza Magufuli kwa ushindi na kutoa
hotuba nzuri katika...
Hapa hatamimi nampa big up sana huyu kijana mwenzangu kipindi anaongea nikawa namsikiliza kwa makini kama kiongozi,mbunge,waziri,mzalendo wa tz yaani tukiwa na watu wenye maamuzi na wanaojali maslahi ya wananchi hii nchi tungefika mbali sana
ni kweli mkuu yapo mengi sana yanayokera kwa hiki chombo ....watu tunalalamika kila siku lakini hawataki kubadilika,wameweka email kwenye wabsite yao kwa ajiri ya complain tumewandikia tumewambia lakini mambo ni vilevile
secretarieti ya ajira kupitia utumishi wa umma ndio mliopewa jukumu kubwa la kuajili lakini shughuli zenu zinakera sana hamfuati hata utaratibu mlioweka wenyewe ...kuna tangazo la kazi mlitangaza september 25, 2014 mpaka leo November 24 sioni kuitwa mtu ata kwenye interview mbona mnakuwa...
Hakuna maisha ya Mafanikio kupitia hizo tips zako
Huwezi kutumia falsafa za kutoka kusikojulikana kutuaminisha sis eti ndio njia ya mafanikio ...eti usiangalie tv...? kula milo miwili kwa siku hapo ndio umeprove failure ....sayansi yenyewe inashauri mtu ale milo kamili mitatu au milo...
usipende kuonekana mjinga kila sehemu wewe ulijuaje ulikuwa mda wa lecture harafu isitoshe hujui elimu ya chuo ilivyo....ndio maana watu wanakuona kichwa maji.....kichwa lisilokuwa na akili na adhabu kwa mwili
Yamoto band ikiongozwa na Mkubwa fela wakijulikana kama mkubwa na wanae wakiwa na nyimbo kali zilizotamba na zinazoendelea kutesa kama Nitajuta
,mapenzi ya moto, niseme na INOOH.
Sasa wametoa bonge la nyimbo wakimshilikisha kijana mwenye sauti ya dhahabu aliyeimba wimbo wa mama Christian...
habari wakubwa , PC yangu nauza ni aina ya samsung yenye ram 2GB , Hard disk 500GB. nimemaliza chuo kwa sasa sina kazi nayo ni nzima iko vizuri nilinunua mwaka jana DECEMBER
kama uko tayari ni text kwenye no 0759264999 niko Dar es salaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.