Jamani wana jf naomba mnisaidie katika hili,juzi katika pita pita zangu nilikuta watu wakizungumzia kuhusu degree ambazo wanachuo huzipata huko wanakoita chuo kikuu.
Sikuelewa pale nilipomsikia mmoja wa wachangiaji wa ile mada akisema "kwani siku hizi ni degree basi!,ni degree za chupi tu"kwa...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23,nitakuwa likizo kwa muda wa miezi miwili kama kuna kazi itatokea inahitaji dereva niko tayari kufanya kazi kwa makubaliano.
Ni mwanachuo chuo kikuu cha tumaini,college ya Lushoto,nina driving licence yenye madaraja yafuatayo A,D na E lakini najua pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.