inamaana ulinzi hakuna mbaka majanga yatokee? sikubali! upelelez wa nn? na je magaidi wapo harusha tu? mbona dar kila siku ---- wizi wa bastola au mbaka
watumie mabomu ?!!!
wadau kwa sasa ni ngumu kufaya maamuzi kwasababu watanzania ni waoga na wengi hatuna uelewa. kinachotakiwa ktk uchaguzi ujao tuhakikishe chama tawala hakikai madalakani kiingie chama chochote na sio ccm
Haina nouma imlad tu kwenye kamchezo hayuko nyuma mfno mmi mke wangu kanizidi miaka 9 na sasa tunamiaka 12 ndani ya nda yetu hasa mimi nilipenda sana maumbile makubwa! asikwambie mtu full starehe kila siku sherehe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.