Acheni kegeneralize vitu mbona hata mtaani watu wanamabwana kibao kuna mlipa kodi, wasaloon,washopping , wamsosi na washowoff a.k.a handsome sasa mnaposema vyuoni mnakosea. Maclassmate wangu wengi wameolewa na maboyfriend zao wa chuo.
Mi nafikiri na malezi ndio yametuadhiri kwamba mwanaume ni mtoaji (Atatafuta kwa jasho) mwanamke ni mpokeaji. Myself nakuwa comfortable kama my man can provide.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.