naifahamu drc japo kidogo kwani nilishawahi kufika lubumbashi,likasi,fungurume,tenke,kolwezi,kipushi na goma.juzi juzi kulikuwa na tishio la maimai kuanzisha vita,nilikuwa lubumbashi ilikuwa balaa mjini maduka yalifungwa mapema saa saba.wenyeji wanasema hao jamaa hawaingii risasi nikakumbuka...
Cna la kusema ila kwanza mama dr angejiuzulu,nasikia hata mtt wake wa kiume hana unyenyekevu wa mtt wa mchungaji.nafikiri na kanjsa ungekabidhi wacha MUNGU wanyenyekevu wa kweli waliongoze
kwa mtazamo wangu jk alitakiwa amwombe lyatonga mrema amsaidie kwenye hiyo wizara ya TAMISEMI maana ndio imejaa wababe wanaosubiri 2pesa zifike wazihamishie kwenye mifuko yao.namtaja mrema kwa kuwa mara nyingi anamuungaga mkono,nishati na madini apewe magufuri co yule prophesor kisa anajua...
baadhi ya wizarz zangu,nishati na madin MAGUFURI manaibu mulugo na filikunjombe;ujenzi MWAKYEMBE;TAMISEMI wangemuazima LYATONGA MREMA maana hakuna m2 pale CCM wa kuvumilia mamilion ya halmashauri zipitie kwake kwenda kurepair barabara za udongo na mashimo ya choo huko bush,wkt yeye anajua...
mi cjali hataakiamua kuteua katibu kata wa ccm kuwa waziri,angalia anafukuza waimbaji [mawaziri]anawaacha watungaji[makatibu wakuu na wakurugenzi].hata hao aliowateua wata2ngiwa nyimbo nyingine na wataziimba 2 na watabadilishiwa tune ili tusishtuke,mapema.makamanda kuweni makini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.