Na bado. Kesho mh. Vincent nyerere mbunge wa musoma mjini atatua iringa kuungana na mwenyeji wake mh.peter msigwa mbunge wa iringa mjini katika harakati za kuuelimisha umma juu ya haki zao na lengo la kushika madaraka ya nchi. Wana iringa jitokezeni kwa wingi. Mkutano ni saa nane mchana.
AIBU AIBU AIBU!!!!!!
Serikali leo imeonesha udhaifu mkubwa sana kwa kukimbia bakora ya bunge kwa kutojiandaa vema katika kuwasilisha muswada wa fedha "FINANCE BILL" na kusababisha bunge kuahirishwa mara mbili mfululizo.
Kwa mtindo huo, niombe tu CHADEMA wajiandae kukamata madaraka ya DOLA...
Leo katika historia ya Bunge la Tanzania, kumetokea kituko Bungeni. Kituko namba moja ni kutowasilishwa kwa hati mezani (Finance Bill) na kituko cha pili ni kutosomwa kwa Finance Bill kama ilivyokuwa imeoneshwa kwenye ORDER PAPER YA LEO.
Kuna tetesi kwamba Serikali ilimwomba Spika ailinde kwa...
Hii ndiyo maana ya Kambi Rasmi ya Upinzani, kuonesha njia mbadala. Hotuba hii imesheni mambo mengi mazuri ambayo yakizingatiwa umasikini Tanzania bye bye!!!! The speech is surely inspirational and it realy shows that The Opposition is now ready and capable to assume state power.
Leo Mchungaji Peter Msigwa ametoa taarifa kwa vyombo vya habari kuonesha jinsi uongozi wa Wizara ya Mali asili na utalii unavyowatetea mafisadi na majangili wanaohujumu uchumi wa nchi. Kwa taarifa zaidi soma taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyoambatanishwa.
"Nanyi kwa Subira yenu, mtaziponya nafsi zenu"
Mh. Selasini sijui nikuambie nini ili ufarijike, maana kama ni majaribu umeyapata brother. Ila neno hili likutie faraja kwa uvulivu na subira yako utaiponya nafsi yako. Wala usifikiri hata mara moja kwamba Mungu amekuacha au hakupendi tena kwa kuwa...
Wewe unayejiita Genius Brain pamoja na wale wote wliokuunga mkono katika hoja yako ya "Dar ina wenyewe" ningewashauri mwende mkaogee magadi ili muondokane na mkosi/gubu lililowakumba. Ni vema mkafanya hivyo ili msieneze mkosi huo kwa walio safi. Maana mumenukisha hali ya hewa.
It is often unbecoming for the strong to surrender to the weak for protection. But today, in Arusha something happened which refutes this outlook. I was shocked if not terribly astonished when I heard from the Radio One breaking news that one ruling party cadre in Arusha (Youth Wing) crossed to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.