Hakuna chochote...Wale wanapigwa na Tanzania kwa siku 3 tu, Kwanza hana support ya Wananchi walio weeengi ambao ni 80% Wahutu, only 20% tutsi.,Pili Kagame anatawala kwa Mkono wa Chuma, Mema ya nchi yanaliwa na Jeshi na elite wa kitutsi,Raia Maskini weeengi wanaogopa kusema,na hakuna Uhuru wa...
Acha Uwongo,,Chancellor wa Ujerumani alitangaza muda kwamba Hatogombea tena...Russia nu muda tu utasema. USA NA ULAYA Magharibi haijawahi kushindwa,,unajua sababu ni nini?? Vijana kutoka nchi zinazofuata siasa za mkono.wa chuma kama Russia, China,Ulaya mashariki,na hata Uarabuni,,wanapenda...
Acha ushamba na Lugha wewe...Katafute hela, ukiwa na pesa Lugha ni mapambo tu...Wenzako wanakula mema ya nchi, weme umekazana na Lugha ya mkoloni. WATU WEUSI NA KUJIFANYA KUJUA SARUFI NA FASIHI YA KIINGEREZA.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha hizo mambo,,ni makubwa saaana kwa akili yako..jikite na Siasa hizi ndogondogo za pangu pakavu tia mchuzi...Achana na Siasa zinazohitaji akili nyiingi...Ugomvi wa Russia na Ulaya pamoja na USA,ni mambo makubwa kwa kiwango chako cha Siasa za Tz..tafuta wapiga kura Kigoma, uwe Diwani kwanza...
Lissu na Lema ni wanaharakati, sio Wanasiasa. Huwezi kumpa amri RAIS wa nchi kifala fala namna ile, Lisu anataka Rais aonekane WEAK. Lema na yeye ni Mlalamishi kama Mtoto Mdogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.