Wanajamii tusaidiane jamani natafuta kazi ya Secretary, Receptionist au Customer care mkoani Arusha. Nina diploma ya secretarial na certificate ya Computer . Mawasiliano :0712804233 au 0688904233
Zoom.Tanzania sasa hivi kuna matapeli wanaotangaza nafasi za kazi na kuhitaji hela kwanza ili akusaidie kupata hiyo kazi.... Ndio ajira ngumu sasa hivi lakini tusifanyiane hivyo...!!Hao matapeli walaaniwe...
Tafadhalini wana-jamii forum natafuta kazi hizo hapo juu kwa Title location iwe Arusha .. Tusaidiane jamani hali ngumu kukaa nyumbani bila kazi. 0712804233, 0688904233 or veronicajr00@yahoo.com ...Tusaidiane wana-jamii forum.
Asanteni...
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 27 ni mkazi wa Arusha natafuta kazi ya Secretary, Reptionist au Customer care nina Certificate ya Computer Applications na nimesoma mpaka kidato cha sita tafadhali tusaidiane. Mawasiliano 0712804233 au 0688904233 mail veronicajr00@yahoo.com
Natafuta Kazi -Arusha Mimi ni mgeni katika jukwaa hili, naombeni msaada wenu nipo Arusha na nina tafuta kazi hata kwa mtu binafsi nitafanya si lazima serikalini.Professional yangu ni Receptionist, Secretary and Customer Care Service.
Nitashukuru sana, Email yangu ni...
Mimi ni mgeni katika jukwaa hili, naombeni msaada wenu nipo Arusha na nina tafuta kazi hata kwa mtu binafsi nitafanya si lazima serikalini.Professional yangu ni Receptionist, Secretary and Customer Care Service.
Nitashukuru sana, Email yangu ni veronicajr00@yahoo.com.
Ahsanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.