Yakhe mulikua wapi sisi huku muungano hatuutaki wala sisi hatujashawishiwa na mtu viongozi wanapata maslahi ndio maana wanajifanya hawaelewi tudhalilike sisi kwa maslahi yao laaa ilikua zamani kuogopana tunataka jamuhuri ya watu wa Zanzibar kwanza katiba zote huko mutajuana baadae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.