Kanda ya ziwa mama bado hawajakubali kama ni Rais, pamoja na kujiita Hangaya Chief wa kisukuma lakini bado hawajampenda.
2025 ataendelea kuwa Rais kwa kutumia dola lakini hawezi kufeel ile legitimacy. Hakubariki kwa kweli.
Mama bado mtaani hajaeleweka na hakuna dalili hizo leo wala kesho.
Pia uko mtaani kuna Magufuli effects.
Kuna kundi kubwa mpaka sasa halina mwenyewe, kila upande haujui namna ya kuliteka hili kundi na ndio linaweza kuamua chaguzi nyingi zijazo.
Hili kundi ni tishio kwa CCM na upinzani maana...
CCM ina kila sababu na sifa za kutawala kwa muda mrefu hii nchi, mapungufu yao tutayavumilia.
Ila awa wabaguzi wa wazi wazi tena kwenye ukabila na udini hawatufai hata kidogo.
Uchaga na ulutheri wa Chadema ni bendera nyekundu kwa wenye akili timamu.
CCM ni kweli itatawala sana ilo halina ubishi haitoki leo wala kesho.
Upinzani wenyewe ni mashabiki wa mambo ya CCM unategemea nini?
Chadema kumejaa uchaga walimchukia sana Magufuli mpaka wamekuwa kama wehu wamekosa direction na sasa hivi wameanzisha mashambulizi kwa wasukuma kila siku...
Mama plz usianzishe vita na wasukuma wale watu wametubeba sana CCM 2015 na 2020.
Kama ukumpenda mtangulizi wako usichukie na jamii yako yote. Lile kundi likisimama na wapinzani tutapata shida.
Wananchi wanasimama na anaepigania maslahi yako.
Chadema ongeleeni maswala yanayowagusa wananchi kama mama ntilie.
Nyinyi kila siku ni Mbowe Mbowe Mbowe
Magu alikuwa sahihi kabisa huyu mzee mara agombane na bunge mara achokonoe mambo ya ikulu...sasa naona maumivu ya kupigwa benchi hayajapona.
Hii ni nchi ukitaka uwa outshine wenye mamlaka lazima upigwe na kitu kizito.
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.