2mekupata mkuu,alafu mkuu mie napenda sana mambo kama haya na ndo nataka nisomee ICT hapa COICT vp waweza nipa ushauri gani juu ya hili na je wewe umesomea k2 gan mpaka kuwa hv?.
Pleaz tel me,napenda sana mambo ya Technology zaid .ASANTE SANA MKUU.
teh teh teh teh itakuwa anamajin mengi kwa hali hyo ha ha ha 2takmbiana aiseee,afu nishawah kuambiwa kuwa huyu bnt ana majini 12 sa cjajua niukwel au uongo.
Jaman nawaogopa sana wasichana wenye majini,ila sasa nina demu wangu mwenye majini sa cjui itakuweje na wakat namuogopa ila najkaza ksabun kutokana na yeye kunipenda kwa dhati.
Nyie mwa shangaa v2 vdogo hvyo wakat mwanaume ukiwa fit katka majamboz lazma mijimama yenye mihela ikuchukue na ukiirizisha lazma kila cku akupe mpunga wa maana hapo una win kmaisha aisee kwa vle mabwana zao hawawarizsh kabisa datz why wanafanya hv.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.