kwa kawaida ufanyapo transfer ya chuo ujue bum huchelewa kwa miez mi3 ya awali na huwa wanakuambia kabisa otherwise wale wenye shortcut zao maana cku hiz penye uzia penyeza rupia mkuu
nani kasema ? source please! kilichotokea ni kwamba asubuh ya leo makao makuu palitokea shoti ya umeme hivyo ikawalazim wafanyakazi wote kutoka nje kwa muda mrefu pale makao makuu. kuna wa2 wakaandika threads kwamba kuna tatzoo
erxana kaka kwani utapeli umekuwa mwingi hadi inakera kwani wakikosa cha kutangaza wanaamua kuunda nafasi za kazi ili tu waonekane wanatangaza sana nafac za kazi loooooh! zoom tz nadhani manajisoma hapa upuuzi muufanyao tumeugundua na oneni aibu basi
mmepewa pesa ili mumpigie debe huyo mpuuzi mwenzenu nn? eti nchema nchemba haaaaa! hafai kabisa na kama amewahonga ili mumsaidie mwambieni ukweli kwamba hakubaliki hata kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.