jaman mi nnavyoona m2 tena mbongo mwenzetu anapojitahid kataka mambo kama haya ya technolojia nikumuunga mkono na kumpa ushaur ili aendelee kutoa na kuisaidia jamii.Hapo co maneno ya et kwamba alikuwa muuza dawa za meno.Mbona Carl Maxy alikuwa m2 wa kufeli kila mtihani wa kufuzu level lakini...
Nokia 6020 used inauzwa.Ina sapot internet pamoja na Opera mini 3.2 vesion,2MB memory,3GP video,mp3.Bei maelewano fika bei uchukue.Hii ni kwa wale wakaz wa Moshi kuja Sanya Juu tu.Nitafute kwa 0759055104.
Unajua kukata mauno katika video na kum2 kulimiliki jukwaa kikamilifu ni v2 viwili tofauti.TID ni mkali wa mauno na kushek but c mkali wa kumil jukwaa kama alivyo diamond.Wacheki wakali hawa wa jukwaa Michael Jackson,Rihana,Nick minaj then tel me ukiwapa hiv vijukwaa vya 6 X 6 patawatosha kwel
Dah!Diamond balaa yani kaibuka na tuzo tatu kwa mpigo.Ni hiz za kill music awards.Kachukua ya mchezaji bora wa kiume wa mwaka,mtunzi bora na video bora ya mwaka.
Msanii aliye katika nafasi ya juu katika medani ya music wa kizazi kipya (bongo fleva) Naseeb a.k.a Diamond ameibuka na tuzo tatu katika mashindano yanayoendeshwa na kuratibiwa na bia ya KILIMANJARO (KILL MUSIC AWARD).Tuzo hizo amezinyakua katika nafasi tofati ambazo ni:
1)Mchezaji bora wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.