Huyo kiongozi wa uwanja wa ndege anavyoelezea kwa mbwembwe,mwenyewe anaona ujiiko kumbe anashabikia udhalilishaji wa taifa la Tanzania.we mtu anakuja nyumbani kwako anakuambia pumzika,mi nitakuwa incharge wa kila kitu"including mkeo"
Bwana mdogo inaonesha hata mkeo akivamiwa na wa**kaji usiku wa manane,hautahangaika kuoambana kumwokoa ila utasubiri kupambazuke ukachukue RB polisi.wakati huo mkeo keshawaridhisha wale mabwana.Woga wako utakuwahisha kaburini mapema.
Note;Toka hapo kuumbwa kwa ulimwengu,Mwanaume hapaswi kuwa...
ahaaa!kumbe huyu ndiye mliyemtuma akamrekodi lwakatare,then ninyi gambaz mkaja kumalizia kuweka kale katechnolojia ka "bad lip" !uzuri mmoja itv,star tv,chanel ten,tbccm daily huwa wanarusha tamthilia ambazo waigizaji wanakuwa wanazungumza lugha yao,lakini sisi tunawekewa kiingereza.i mean...
naunga hoja asilimia100.ukitaka kujua huo ndio ukweli utaona magamba watakavyokupinga,maana hiyo kombinenga hata siku moja hawatopenda kuiona coz inaimply kifo cha nyinyiem.
Mheshimiwa usitake kufananisha CCM na Democratic,ulimuona obama alivyokuwa anasiriki vizuri na kwa ushupavu kwenye midahalo.mbona ninyi 2010 mlikimbia midahalo.na kumbuka hawa democratic walikuwa wapinzani kabla ya 2008.tunawasubiri2015.vilaza+
Acha ukilaza wewe,kwani hukusoma hoja alizozitoa alipoambiwa adhibitishe kwamba majaji hawana sifa!na kama utetezi wake ni utumbo mbona hajachukuliwa hatua stahiki na vyombo husika likiwemo BUNGE.na sasa amerudia kusema tena yaleyale.kwa maana hiyo wewe ndiye unaye tuwekea utumbo hapo JF
E.wasira zaidi.huyo bulaya hamna kitu,yeye aendelee kuandaa mashindano ya vikombe vya mbuzi hulo bunda(strategy za kizamani za kuteka watu ili wakuchague)E.Wassira 2015 anaenda kuchukua jimbo kiulani tu.wenyewe jumapili mliona mauwezo yake pale Nkuruma Hall
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.