Halafu utawasikia "CCM NI ILE ILE NAMBARI WANIII?" Ndio wakazi wa huko. Hajui tofauti ya uvundo na manukato. Amkeni mkaone wenzenu wanaoishi vijijini hapo MOSHI. Uru, kibosho, Machame, Marangu , Rombo etc utafikri ndio low density ya Dar.
Hivi kama alikosa uenyekiti wa kanda si angesubiri wa Taifa upite ndio aamue kwamba CDM haina demokrasia au la? Kama kwa miaka aliyokaa cdm hakuweza kupanga safu hata ya kanda, basi huyu ni yule yule mr Ziro wa MH Mkapa aka fundi mchundo. A loose point kwenye mikakati yake, amekurupukaaa...
Kitu kimoja ambacho ni dhahiri kwa asilimia 65 ya Watanzania ni kutofikiri na kutojua mambo mengi sababu ya uvivu na ujinga. Na wanasiasa wengi hawasomi international issues hivyo ni vivuyo full. Wanaongea vitu kijinga jinga tu badala ya kuwa sensitive kujua kifuatacho ni disastrous kwa taifa...
Kweli kabisa. Huwezi kujiajiri ghafla tu. Nakumbuka mtaji wangu ulianzia Kariakoo. Likizo nilikuwa siendi nyumbani, naingia kariakoo enzi hizo wakipanga viatu vya plastiki na raba za kichina za konfu barazani. Nikawa nafanya udalali hasa kwa wazungu na wachina. Wenye viatu hawajui umombo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.