Uzuri wa biashara ya vifaa vya ujenzi ni kwamba vinapanda thamani hata vikiwa dukani. Mwanzo ni mgumu, chamsingi zingatia uaminifu na uvumilivu, pia usisahau kumshirikisha Mungu wako kwa imani yako. Yote yanawezekana.
Habari hii ina uhakika gani?., yetu masikio, ni wiki ya pili sasa tangu masikio na hisia za watanzania zimekuwa zikiteseka kwa kungojea matamko ya serikali kuhusu hili.
Du! Nchi imefika patamu sana, maana mabadiliko haya yanaashiria muda si mrefu na sis wanyonge tutaonja keki ya nchi., na si kuendelea kuliwa na wachache tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.