Askari wawili wa jeshi la polisi wilayani Ngara wameuwawa katika kijiji cha Kasheshe kata ya Rugu wilayani Karagwe kwa tuhuma za kujihusisha na wizi wa meno saba ya tembo yenye uzito wa kilogramu 34 kutoka katani humo.
Askari hao wakiwa na gari aina ya Noha namba hazitambulika kutokana...
Ahaa, jamani nimemuelewa sasa huyu ndugu, msimchukie anasumbuliwa na vitu vikuu viwili, moja: Malezi kutoka kwa wazazi wake, pili: Udini, mi nafikiri kama sikosei dini yake ndo nasikia inaleta migogoro nchini Tanzania kwani wanafikiri wao wanaonewa na kila mtu.
Kosa, mtu asiwe muwazi kwao basi...
kuna nafasi za kazi kwenye stationery ya KARAGWE PRINTING TECHNOLOGIES LIMITED - KPTL.
Tuma email ya maombi kwenye e-mail ifuatayo;
karaprint@hotmail.com
na kwa msaada wa maelekezo zaidi
'enctbs@live.com'
ahsante.
Jamani marafiki, nauliza jinsi ya kupata wimbo wa Westlife (remixed) unaoitwa 'YOU RAISED ME UP' lakini kwa tafsiri ya kiswahili (siyo rylix yake ya kiswahili).
Km unamfahamu huyo mwimbaji au album yake tafadhali nidondosheeni tips/info hapa.
Shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.