Fanyeni kila linalowezekana ofisi zijengwe, chama ni kikubwa sasa, wabunge wenu wakijitolea mshahara wa mwezi mmoja kila mmoja wao inatosha kuanzishia msingi
Uzoefu wa biashara hii ni umakini kuliko kiasi cha pesa ulizonazo within a minute unaweza kupoteza 2 mn, bt mtaji na ushapu wako unaweZa kukupa matokeo mazuri.
Wangemaliza jambo moja kwanza kabla ya bkudeal na lingne, mara madawati, makontena, kuhamia Dodoma, wanafunzi fake, wafanyakazi fake, Mara hakuna mikutano! Sukari bado haijashuka bei huku mtaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.