Sasa huyo Nchema analalamika nini baada ya kushkru malengo ya kupata pesa ya kuhudumia wajawazito anaomba mwongozo usio na kichwa.
Mi namshauri kesho aombe mwongozo tena au atoe hoja ya kwamba,
Kwakuwa wapinzani wa hoja kwao wametoka na hawapo tena bungeni na kwakuwa kujadili mawazo yale...
Mkuu ninachoona hata wewe unakubali kuwa Lisu kaweka facts na ndio ukweli, kuliko kukimbilia kumsakama Lisu unaonnaje ukaishauri serikali yako ikatumia muda huu kurekebisha vyote hivyo.
kwani hata tukisema Lisu aondoke bungeni chadema waondoke hukuleti uhalali wa jambo, na dawa sio kukimbia...
Kwahiyo kumbe mawazo yangu ya kuwa Yanga ndio walevi yanaweza sio sahihi, kwani kwa data hizo inaonesha Yanga wapo mbali sana lakini kiasi kwamba inakuwa ngumu kusema mashabiki wa Yanga wanaweza kuwa wengi mara tatu ya simba.
Hasira na mwenyekiti ndo zinasababisha timu isipate mpunga wa ukweli?
TBL kupitia bia yao ya KILIMANJARO imeleta hili shindano, mil 100 zimetengwa kushindaniwa na Simba na Yanga, kushiriki nunua bia hiyo angalia kizibo tuma sms yenye jina la timu na namba zilizopo kwenye kizibo. kwa matokeo ya karibuni Yanga anaongoza, swari langu hapo je Yanga ndo walevi kuliko...
Mi hapa sijaelewa anasema hiyo milioni 6 ndo take home yake wakati huo ana mikopo ya bank, kwahiyo hayo mabenk yakikata rudisho la mkopo ndo inabaki 6 duuh', kama.sijaelewa vibaya ngependa tujue na makato yake inawezekana hata alizosema Zito zikawa ndogo.
We kwani huoni hata leo, sema hawaweki tu hizo deductions kwenye percentage. Pamoja na mkwara wa TCCRA kuwa bei za simu ztashuka. jaribu kupiga simu mtandao huo huo bila kujiunga na hizi huduma zao za jirushe, cheka na kabaang uone makato yake ndo utajua nini kinakatwa hapo.
Hivi ninani kweli alililia kwenda kupokea maandamano ya waandishi wa habari yasiyomhusu naweza kuwa nimesahau labda. Halafu leo aje mwingine ayazuie. Sijui itakuwaje yangu macho.
Mkuu inaonekana ukoo wenu binamu rukusa kumgegeda mpaka aunt anawaambia hivyo? We mwambie ukweli kama humtaki, kwanza nimlokole mueleze dhambi ya kuzini ilivyombaya, na anatafte mme aolewe tena wanaume wapo kibao hawezi kukosa.
Mi sijaelewa mleta mada analalamika nini? Mnawasema wanaume wawe ngangali wakienda huko wakati huo nyie wenyewe wadada mmekaa kiwizi wizi, yaani unakanya huku ndani mwanamke mwenzio anamtega huyo mwanamke. Mi nadhani mngeanza wenyewe kupunguza hiyo mitego kwani tayari mwaijua ingekuwa vizuri...
Jamani mi naomba kuelimishwa hivi sheria inatungwa kumhukumu aliyehukumiwa tayari au kuhalalisha hukumu. Na kama kuna Kanuni hiyo nataraji kuona hukumu nyingi zilizo nje ya kanuni then zitapitishwa na spika wetu.
Mi kwenye simu yangu ya tigo sisumbuki kuweka salio nanunua Extreme kwenye tigo pesa ikiisha nanunua tena. Salio linabaki lile lile shs 0.22, wakome nalo kama wanaweza kukata.
Mkuu mi nimewahi kukutana na issue kama hiyo 2010, nikawa interested sana. Mpaka nkatumiwa baadhi ya document. Mwisho kabisa niliombwa pesa na huyo wakili wake fake kuaandaa document zingine kama dolar 1500 hivi ndo tukatofautiana nikawa namzungusha tu mpaka akachoka mwenyewe na hakunitumia tena...
Wadau najua ndani ya hili jukwaa nawezakupatiwa jibu ya hii hoja. Ni siku ya tatu sasa sehemu sehemu za Kigamboni hakuna umeme, mwenyewe taarifa jaman anijuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.