" Njombe peleka pesa na sio kuchukua pesa, wenyeji bado hawaamin kununua kwa mtu asie kabila lao"
Peleka pesa kanunue viazi, mbao , mapori.
Lakini sio wao wakupe wewe pesa kupitia biashara utakayoanzisha. Naongea kwa uzoefu.
Asante
Nimependa zaidi hii ya used tyres na bidhaa zake.
Naomba msaada ufutao
1. Kutembelea plant yenu ya bidhaa za plastic waste inayotoa diesel
2. Soko la hizo product zingine
3. Mashine ya kuanzia naipata wap, nahitaji urgently nafunga mkoan, gharama yake
PM yako imefungwa mkuu inagoma...
Mktaba wenu
1. Niliona umetaman trailer ya super single, je airbag ikipasuka gari inaingia mizan nani analipa?
2. Tyres iki burst nan analipa, kawaida kwa super single
3. Service ya trailer , imekatika sehemu inahitaji kuchomw nan analipa?
Ukiona hayo maswali majibu yana ukakasi
Unga unga...
"Kila unachokiona mbele yako kilishawahi kuwa kwenye truck"
Umeamua vyema kuwaza biashara hii.
Niongeze kidogo
Kuliko kununua gari used budget yako inatosha kuwapa TATA wakakupa gari mpya kwa 35m na trailer ukiunga unga utapata kwa 30m double tyres.
Super single ina changamoto nyingi sana...
Mkuu naomba unisaidie
Ninawaza kuanzisha hardware yenye vitu vigutavyo tuu
1. Nondo
2. Cement
3. Bati
4. Mbao
5. Misumari
6. Wiremesh
7. Gypsum board na accessories zake.
Changamoto gan niitegemee hapa.
Mtaji kiasi gan kama nalenga kuuza jumla na rejaleja
Trucks ni kichocheo kikubwa sana cha uchumi.
Hakika watunga sera ni wakati muafaka kutoa kodi kwenye trucks kama ilivyo kwenye mitambo kama graders, dozer, excavator na mingineyo.
Trucks inachangia pa kubwa sana kwa uchumi wa inchi hii ilankwa makusudi record zake haziwekwi wazi.
Mkuu hii Inchi ni yetu na maendeleo tutayalete wenyewe.
Forum kama hizi kuna watunga sera wanazipitia tuwape nondo wabadilike.
Tuwape uzoefu wetu wapate madin sahihi ya kubadili sera kwa uzoefu wetu
Miez sita iliopita SA wamepiga marufuku gari za inchi nyingine kubeba mzigo unaoanzia kwao.
Jamaa yangu ikabidi abadili usajir ili aweze kufanya kazi.
Alikuwa anabeba matunda SA kuleta Tanzania.
Ni sisi tu mnyarwanda anabeba makaa songea anaenda kuuza kenya kwa toll ya dola 160.
Pongezi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.