kwa mujibu wa sheria za Tanzania kila mtu atahesabiwa kuwa hana hatia mpaka pale itakapothibitishwa na mahakama kuwa ana hatia na si vinginevyo so ukweli wa Mungu kupitia mamlaka zilizopo duniani Lulu aachwe kutiwa hatiani kinyume cha sheria na tuache haki ionekane kutendeka kwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.