Kwa mujibu wa pgo cheo cha insp.kushuka chini ndio humpigia salute rc na dc zaidi ya hapo ni kujipendekeza tu. Isipokuwa waziri ambaye hupigiwa mpaka na ssp cheo cha kuanzia ukurugenzi msaidizi(ACP) hawapigagi salute hovyo hovyo kama wafanyavyo
Udhibiti wa chakula na dawa hapa ndo mahali pake,usalama wa walaji upo mikononi mwao na viwanda vingi vidogo vimefungiwa kwa sababu ndogondogo za kiusalama kwa mlaji
kama viwanda vya alizeti shinyanga na kwingineko viwanda vingi inchini vimelazimisha kuweka Maelezo kwa mlaji katika bidhaa nyingi...
Je! umesubiri muda mrefu kwenye foleni kusubiri kujiandikisha.
Je ulilazimika kuamka mapema alfajiri au kulala kituoni ili ujiandikishe.
Je mashine za BVR,zinaharibika kila mara ukiwa kwenye foleni,je muda wa wiki maja haukutosha kujiandikisha kwenye kata yako, Je ulitoa rushwa kujiandikisha...
kesho mh. lowasa atakuwa MAFINGA (w) MUFINDI kusaka wathamini katika safari yake hii ya matumaini, leo watu wanajiandikisha kwa malipo ya tsh. 50000,kwa aliye na kadi ya ccm ili kuhudhuria mkutano wake utakao fanyika uwanja wa wambi siku ya kesho, boda boda 100 zinaandaliwa kwa tsh 70000 kila...
Anaitwa ssp mwanyasi ni ocd wilaya ya mufindi anastaafu mwakani kwenye mwezi wa pili anatafuta kupandishwa cheo ili pensheni iongezeke kidogo,lakini walimwachia baada ya mahojiano kwani sheria inasema jua likitoweka ndio usiku na sio saa kumi na mbili
kwanini alijiuzulu uwaziri mkuu kama hana chembe ya shaka?, alituambia tatizo ni uwaziri mkuu na sasa tatizo ni u rais kama hili jambo dogo tu alishindwa kuliweka wazi pale Arusha kama alivyo ahidi, nina hakika hakuta kuwa na ukweli,uwazi na uhakika kwenye serikali yake
Rafiki yangu Raheli ni mkazi wa Njombe. Alijiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura mwezi mmoja uliopita, kwa bahati mbaya jana amekipoteza na hajui cha kufanya ili apate kingine, sasa anaomba ushauri. Nini cha kufanya?
tunakumbuka chaguzi nyingi zilizo pita watu wengi hawakupiga kura sababu hawakujiangikisha ili hili lisijirudie chadema wamekuja na OPERATION SHAHADA MKONONI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.