Search results

  1. K

    Wajumbe Kamati Kuu CHADEMA wamuonya Zitto.

    Fukuza Yuda ndani ya umoja na mshikamano wa Chadema. Kwani mnambebeleza yeye amekuwa nani.
  2. K

    Waziri Mkuu Pinda Apangua Hoja Kuwa Yeye ni Mzigo!. Kinana Anasubiriwa Kufafanua!.

    Kama anapwaya na hayawezi majukumu, mwekeni peter burger, mtacheck picha nchi hii itakavyokuwa tamu.
  3. K

    Said Arfi - Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ajiuzulu rasmi!

    Baada ya kujiuzulu nafasi zenu karibuni mitaani mcheki picha ya magamba watakavyowanyanyasa.Mpaka mtie displine
  4. K

    Kutoka Kigoma kaskazini

    Kwaheri ZZK tulikuamini kumbe kibaraka mmh Pole.
  5. K

    Shibuda atimuliwa kikaoni CHADEMA; Apigiwa kura ya kutokuwa na Imani naye!

    Msaliti hufukuzwa popote, hata Mwenyezi Mungu alipomwonya Lucifer naye akakataa kuonywa alitimuliwa mara moja Fukuza shibuda fukuza msaliti.
  6. K

    Punguzo la PAYE kwa asilimia 1 ni dhihaka kwa wafanyakazi!

    ni kweli njia iliyopo kila mwajiliwa alipe kodi kwa kutumia tin number yake kusudi viwango vinavyozidi watu warudishiwe pesa yao kwani hilo ni jasho lao.
  7. K

    Kuna haja ya kujua historia (background) ya mpenzi wako mpya?

    Ni vizuri sana wote mkafahamiana hasa wanaoelekea kufunga ndoa.Husipomfahamu vizuri mwenzio hasa backgroundi yake UTAJUTA HAKIKA UTAJUTA.Mfano kweny ukoo wao kuna magonjwa ya kurithi km kichaa, uchawi, wizi,matahaila,magonjwa ya kudumuk.m Genatic Deseases. hakika usipoyachunguza yote likikupata...
  8. K

    MUHIMU: Tuma maoni yako ya Rasimu ya Katiba Mpya, Mabaraza ya CHADEMA

    Vitambulisho vya Taifa viharakishwe nchi nzima na ndo vitumike kupigia kura 2015 kwani serikali iliyopo madarakani inatumia mwanya huo kuwabana wapiga kura warudi walikojiandikisha.
  9. K

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Ningemteua DR. Wilbroad Slaa. kwa sababu 1.Amezoeleka sana huko vijijini kama mgombea wa urais Chadema ambako ndo wapiga kura wanajitokeza. 2.Busara zake kwa kiti cha urais zinafaa. 3.Amejaribu mara moja tumeona jinsi Chadema ilivyopata wafuasi wengi na # ya wabunge ilivyoongezeka. 4.Sasa hivi...
  10. K

    Huduma za afya nchini: Mkapa vs Kikwete.

    Hacha uongo kumtetea mhuza sura CT scaner zilikuwepo toka 2004 pale BUGANDO, KCMC,na MHUHIMBIL mie nimetibiwa pale BUgando kwa 2004 zilikuwepo
  11. K

    Majukumu ya mh. Lukuvi

    na iwekwe wazi kusudi jimboni kwake waone walivyokuwa na nanga bungeni.
Back
Top Bottom