Poleni sana wenye tumbo za uoga, binafsi tumbo langu linanipendelea sana. Nakula sana njiani na sipati tatizo la tumbo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli mchungu lakini umesema bila unafiki, huku kijijini watu tunaambiwa tujiandikishe watu mia moja ili tupiwe kwa gharama ya laki moja na nusu kwa kila mtu, watu wanagoma. Nimeshangaa mpaka kesho nashangaaaa.
Tatizo la lako ni kwamba, paskal kaandika kile ambacho hukutaka kukisikia ama kukisoma. Lakini kumbuka kwamba na wewe unaweza kuandika kwa kufanya research kama ambavyo unataka Paskal aandike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.