Hilo cyo jambo la ajabu kwa wazungu hawa majamaa daima hufanya hufanya yale ambayo yapo against na MUNGU xo tusiwashangae bado yatazuka mengi makubwa
wamewashinda hata watu wa NABII LUTU kwani wao hakuoana bali hawa sasa wameamu kuoana hamuoni kuwa sasa ibilisi ame Improve???
Dawa yao hawa majamaa ni katiba mpya na chadema kukamata usukuni kama vipara havijatoa jasho
thn hivi huyu mr clean ana watoto wangapi????
Unajua huyu m2 simwelewi in deep!
Wa2 hawapeani uwaziri kwa CV bali kwa kulindana ukianza kuchambua maovu ya kila waziri hakuna aliye salama labda wawili au watatu kama watazidi
siasa za kitapeli
kulindana, na chukua chako mapema ndo zilizotufikisha hapa tulipo
YAA RABI TUNUSURU
bora tuwe kama libya, tunis, egypt syria kuliko...
Unajua nchi hii wa2 wanaishi ile style ya kutoana kafara au funika kombe mwanaharamu apite
kama kweli wapo serious na hii issue na 2cjewadhania vibaya wahusika wote wafikishwe mahakamani
la cvyo
it wll be the fabricated drama
na 2kijua ni hivyo watarajie kimbunga 2015
Nionavyo hata wa kibadilishwa madudu ni yale yale tu hawa majamaa wameshatuzoea wa tz kwamba tukipiga sana kelele wanafanya change kwa baadhi ya mawaziri thn tunanyamaza kimya kinachofanyika ni shehe yule yule kanzu ndo tofauti
suluhu ni katiba mpya au chadema kushika nchi kabla hatujauzwa...
duh! Nionavyo hawa watendaji wanaopewa nafasi hizi ni kama hawana meno ya kung'ata (sport dog) ama wapo kama vile geresha lakini mambo yote ni kwa rais tht why kama utakumbuka siku waziri mkuu alipokuwa anatoa majibu kuhusu madudu ya aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini alisema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.