Hii ni taarifa ya UKAWA au taarifa ya CHADEMA?
Msemaji wa CHADEMA ndiye de facto msemaji wa UKAWA? UKAWA haina msemaji? CHADEMA ni UKAWA na UKAWA ni CHADEMA. Naona hapo lazima kinuke tu.
Unasema taarifa si rasmi maana yake ina ukweli ndani yake lakini haijatolewa rasmi kama ambavyo tunaambiwa...
Ilishasemwa kwamba Rais hatatoka kaskazini, wa kasikazini mnahangaika bure. urais unarudi nyumbani yaani kanda ya ziwa. Tumechoka, tumewaachia Urais hamjautendea haki, afadhali tuurudishe nyumbani.
Wewe Mfamaji ameharibu wapi? Unayaamini maneno hayo kwamba alikuwa akikusanya mamilioni ya shilingi kila alipokuwa akipita. Hizi ni siasa za maji taka toka kwa watu wa kasikazini.
mwaka huu Urais tunataka urudi nyumbani ulipoanzia yaani kanda ya ziwa. Watu wa kasikazini wanapigana vikumbo...
Tata Maranya hakyamama waache mchezo, watu tumeishajipanga, tumeweka mtandao na kujenga chama na kujijenga jimboni harafu vishabani vitoke huko na kutaka jimbo eti kwa tiketi ya UKAWA, hakyamama hatukubali.
Owawa kitu gani, mnajifanya kujimilikisha jimbo la Rorya nyinyi watu wa Utegi, Kowak, Shirati, Ingiri Juu na kuwaacha wenzenu wa Kinesi, Ruhu, Komuge, Nyanchabakenye, Irenyi, Kirumi, Kuruya. Mwaka huu hatutaki lazima Mbunge atoke Irenyi lya Kahenge.
Naona kuna kambi zimeona jinsi Magufuli anavyokubalika na sasa wameanza kumpiga vita ambayo sioni kama ina ukweli wowote. Hivi kweli mapesa yote hayo anachukua kwenye ziara ina maana alikuwa na gari la kukusanyia pesa hizo kwa kuwa inaonekana siyo hundi bali ni pesa taslimu.
nimekuwa...
Mkuu Aide De Camp huwa ni mmoja habadilikibadiliki. Kwa mfano Rais JK aliingia na yule mmoja na baada ya kupandidhwa cheo na kuwa Brigadier General ndio akaja wa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.