Wanajamvi habari za j2!
Ninaomba kujuzwa, hivi inawezekana Kwa wenzetu walioko nje ya nchi yaan wanaoishi ughaibuni mtu akafariki ndg zake huku Tz wasijue?
Najua wapo ambao tunawaombeaga michango ya kusafirishwa lakini je wapo ambao hatuambiwagi kabisa habari zao? Kama wapo miili ama maiti zao...
Mmh aisee hii familia basi inachanganya. Haya ww unasema mwele mchepuko wa baba. Mwingine katujibu kuwa alikuwa mchepuko wa kaka wa Mange.
Lakini haya ya kushare mama nayo yaliandikwa humu humu. Basi tuseme tuu undugu wao wanaujua wenyewe
Dunia Ina mambo. Mwele sio dada wa kuzaliwa (Kwa upande wa mama) na Mange?
Manake mama Mange aliwahi kuzaa mtoto na Malecela?
Lkn mwele akawa na uhusiano na kaka wa kambo?
Mwenzangu ukisema maisha yako Yana complication try to read about Manges life. Yaan yeye na Mwele ni. Mtu na dada mara wakashare dyudyu mara wakaanza kuleana huku wana share mama.
Vic Mwele ba Mange ni mtu na dada. Ila waliwahigi kushare dyudyu na huo.uzi.uko humu ndani. Ingawa mama alizaa mwele kama mchepuko tuu. Mama ndio akaolewa na kimambi na kuzaa kina Mange
Mange na mwele malecela wanashare mama.
Mama yake Mange alizaa na Malecela ndio hao akina Mwele Kisha akapigwa chini. Mama akaenda kuolewa Kwa Kimambi akazaa akina Mange.
Mange kumuita mwele mama ni sawa kwasabb Mwele kamlea ingawa huko zamani (marehem hasemwagi) waliwahigi kushare dyudyu...
Perhaps this is the! Best answer that he can get here. Am curious to know was the girl ready for the game? Ama was thinking of it ndani ya suruali afu akapona mnara haunasi akaaamua awe mpole kujipushia fedheha?
Lkn je hana skills nyingine zaidi? Like hajui hata matumizi ya nyenzo mbadala...
Ni kweli umejenga hoja yako vyema. Lakini hebu rujiulize swali moja kubwa Kati ya machinga, na wale waliovamia hifadhi kujenga ama kufuga ama kulima kundi gani ni kubwa zaidi?
Tuanze hapo Kwan za
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.