Jamani jamani msipuuze ya huyo mama. Huenda pia chacha kachukuliwa msukule na akina Wilbrod....Hivi hamjui kuwa huyo Wilbrod kabla ya kuwa mbunge na kiongozi wa kiroho alikuwa ni mcheza mazingaombwe!!Ni bingwa sana wa masuala ya akina kalumanzila!!!!
Kichaa ni Profesa Mwakyusa ambae kaunda tume lakini kuchukua hatua ya kumpeleka kichaa mahakamani. Ama kweli viroja. Inanikumbusha enzi za mzee Nyerere akiwa Rias alienda kutmbelea hospitali ya vichaa mirembe. Kwa ukichaa wa wenyeji wa uongozi wa mirembe wakaamua kumsalimisha mwenye ugonjwa wa...
Dogo Mnyika anatumiwa na akina Slaa na Mbowe kama buffer zone ya kukinga bullets zote zinazoelekezwa kwao. Dogo angalia hao wazee wasikuue kisiasa. Usifikiri wanakupenda wanaogopa nyota yako isizidi yao. Chunga sana. Slaa is sly and shrewd. He has his ambaitions. Huyo anajua hila za kivatican...
Aisee BongoTZ ambae kashikilia suala la mapanga kuwepo au kutokuwepo ni Zito Kabwe. Yaani safari hii wanaogopa na wameona kifo cha Chacha Wangwe kimewaharibia kisiasa. Angalia hata Dr Slaa hasikiki ilhali alikuwa huko na alionekana kwenye TV amejaa hofu na woga wa kucharazwa mapnga na...
Tunawapa pole wafiwa. Ushauri wangu is to take this matter spiritually. Life is eternal and eternity begins now when we are in our mortal bodies. Cheer up George's spirit has just moved into another realm but he is alive. I knew George tangu 1969 when he joined form 5 in tambaza then known as...
CCM? ni chama cha wakulima na wafanya kazi. CHADEMA cha wachaga na wafanyabiashara. CUF? Chama cha wafanya fujo na wasioamini muungano na serikali zake. NCCR chama cha viongozi ambao ni qualified political and social pathologists waliobobea kufanya postmortem ya matukio mbalimbali ndani ya...
Dr Slaa? Rais? Huyu ni padre mstaafu ambaye anatumia philosophy na canon law aliofundishwa seminari kuhadaa umma. Poleni sana hamumjui huyu mtu. Ana kipaji cha ulaghai na ujanja ujanja. Itafitini historia yake ya zamani. Hafai hafai hafai
Hee 2010 si ndiyo mwaka wetu wa uchaguzi. Itabidi tunaopiga kura wabunge watarajiwa watupe treat kutupeleka kuona mechi hizo lasivyo kura hawapati!!!!!
Slaa for the Presidewncy? My foot what a silly joke!!Hivi nyie mnajua vizuri huyo mtu alieshindwa kuweka kiapo cha kanisa katoliki?
Ndiye aje kuapa kuwatumikia Watanzania? Huyo ni fisadi mkubwa. Kwenye kesi ya jimbop la Karatu imedhihirika hivi karibuni yeye na chama chake waliiba kura. Hafai...
RO mnajuaje kama hamuelezi tajiri yake? Wewe unataka ufahamishwe kila kitu wanachokifanya? Haiwezekani. But I can assure you ukiacha Mungu na malaika wake next ni taasisi ya RO ni silent heroes. Miiko ya kazi inakataza wao kuelezea mafanikio yao. Suala la kukamata si la RO. Muulize IGP na Hosea...
Kwa taarifa yenu huyo mtendaji mkuu wa Mfuko huo Dr Lorri asijifanye hajui kitu. Mbona yeye mwenyewe inasemekana ana political ambitions na hutumia sana fedha za mfuko huo kujijenga kisiasa huko Karatu ambako ndiko anakotoka. Atueleze kwa nini amekuwa mara nyingi anatafuta ujumbe wa NEC wa CCM...
Nionavyo mimi wa kulaumu ni Madiwani na Halmashauri yao pamoja na Wakurugenzi wa Halmashauri hizo ambao ndiyo watendaji wakuu. Kwa mkoa wa DSM Mkuu wa Mkoa na Madc wa wilaya zote tatu wamekuwa wanasema na kukemea lakini wapi. Hizi Halmashauri zina kiburi sana kwa sababu wanalelewa na TAMISEMI...
Hayo ni maandamano yaliyoandaliwa na Ponda yule illiterate mwanaharakati wa kiislamu na self appointed defender of Islam. Hana maana hata kidogo. Hivi unategemea nini yeye kaenda shule ambapo anaandika kutoka kulia kwenda kushoto wakati serikali inaandika kutoka kushoto kwenda kulia. Lazima they...
Mm sishangai. Maana wameongoza kuwashambulia wakubwa. Sasa mnafikiri hao majambazi wametumwa na kuna motive za kisiasa katika mashambulizi hayo. Wakati wanawashambulia hawakusema chochote? Jamani Tz ndiyo twaelekea nchi jirani? Hiyo sio dawa. Unafikiri mbele ya kamati ya bunge ya Mwakyembe juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.