Na kama alikuwa mtu wa demokrasia hivyo inakuwaje '95 alishinikiza (kwa vitisho) wamteue Mkapa badala ya Kikwete....si angeacha tu demokrasia itendeke...?
Kipo kipo wapi? Na kama ndio ni hivyo kwa nini bado wanapeta uraiani kama vile hawana makosa? Kwa nini hawako gerezani? Na kama sio madai yako ni ya nani sasa? Nani anayewatuhumu?
Sawa, ajali hutokea lakini hazikubaliki. Tena zile zinazowezekana kuzuilika kiurahisi. Na hata kama zinatokea majuu hiyo haihalalishi kutokea sehemu zingine. Hata huko majuu zinazotokea si kwamba zinakubalika kwani watu huwajibishwa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.