Swala sio wingi wa wanawake au uchache wa wanaume. Ni kweli idadi ya wanawake duniani ni kubwa ukilinganisha na wanaume watu wanaume wengi tu hawana wake hivyo inabidi wote waoe ndipo tuseme wanaume wameadimika, kwenye upande wa umalaya hapo ndipo utakapoona wanaume wameadimika
Endelea kuwasiliana naye, punguza ku nanihii naye sababu nawe una muda wa kuhitaji, panga naye matembezi ya kutembelea ndugu zako mazungumzo yataonyesha nia yake kama anaoa au la
kwa kweli ni wagawaji wazuri wa uroda,umbea kwa sana,hawakusoma,wanapenda kutajirika ghafla bila ya kutoka jasho na mmoja akitajirika jamii iliyobaki inamsujudia. kwa wanaume sigara kwa sana, mirungi na ulevi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.