Kama kungekuwa na kombe la 'mpondaji hodari' basi mchuano ungekuwa mkali sana maana hili jamvi kuna watu wamekalia kuponda tu wenzao. Yaani wao ni ponda ponda mwanzo mwisho.
Sasa huyo real man atamchukuaje tu huyo mwanamke pasipo huyo mwanamke naye kutaka?
Au mwanamke hana usemi? Yeye akitakwa tu anachukuliwa? Kama si hivyo kwa nini mwanamke asiseme "hapana, sitaki. sitaki kwa sababu nina wangu tayari. nenda katafute mwingine na tafadhali achana na mimi"?
Au ni...
Hao wadada wawili kwenye hizo picha ni public figures na hizo picha zipo kwenye blogs kadhaa. Hata Dida mwenyewe aliziweka baadhi ya hizo picha kwenye blog yake.
Sasa kama walikuwa hawataki watu wazitolee maoni wasingeziweka kwenye blogs. Pindi unapoweka picha zako kwenye mitandao ya kijamii...
Dida wa G ni celebrity kama mlikuwa hamjui. Ni host wa kipindi cha Mitikisiko ya Pwani, Times FM. Katika genre ya taarab hakunaga host kama Dida.
Blog yake hii hapa
Tovuti ya Times hii hapa
Their statuses as public figures make both of them fair game.
After I started reading I thought it was an ode to your lady.
But it appears as if you have a problem. If indeed it is a problem then what you have is a good problem - two lovebirds who are smitten with each other.
It doesn't get any better than that.
Mimi sio Le Mutuz. Mimi ni rafiki yake. As a person and as a friend, I like him very much and I'm not gonna get on the internet and start trashing him. No way Jose. I'm loyal to a fault.
Mimi tokea 2010 alipo-stand up kwa yule jamaa aliyemtusi nilimpenda. She's no pushover.
Sasa kuna watu walim-trash kweli kweli kwa kitendo kile. Kwangu alikuwa ni shujaa.
Go Shyrose go.
Umesahau jinsi marehemu Regia alivyokuwa anapondwa na watu humu?
Yaani we acha tu. Nimejifunza funzo zuri sana kwenye hii mitandao ya kijamii hususan hii ambayo watu hutumia majina bandia.
Kilichomwangusha ni tajiriba tu kwa sababu kama unavyosema, public speaking si mchezo kama hujazoea. Mtu unaweza uka-lose train of thought halafu ukaishia kuonekana si "kichwa" wakati hata si hivyo.
Bila William huu mchakato usingekuwa na excitement kama iliyokuwepo leo.
Kuna watu lazima wagongeshe cheers huko waliko. JF bana...full of negativity and hate.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.