App ya tiketi mtandao ilizinduliwa ili kumsaidia abiria kuchagua basi, kuchagua siti na kulipa nauli moja kwa moja mtandaoni yeye mwenyewe bila kusumbuka kupiga simu au kwenda kwa makampuni ya mabasi.
Lakini App hii au mfumo huu haufanyi kazi, na ni muda mrefu hakuna marekebisho wala maboresho...
KUMBUKA
Ni kawaida kwa mtoto akili ikianza kukua anaanza kujiuliza mambo mengi na kufikia conclusion kulingana na uwezo ambao akili yake imefikia!
Lakini haimaanishi kwamba yupo sahihi au hayupo sahihi, au alichokigundua ndio Ukweli Sasa au la.
Na kwa kuwa kweli haibadiliki, akili ya mtoto...
Maswali unayojiuliza huulizwa na kila mtu anapoanza kuwa na akili ya kujua jema na baya. Lakini unapotaka kuendelea kutafakari juu ya Mungu ni vema ukazingatia maandiko yafuatayo ya Biblia:
Andiko la kwanza: Kumbu. 29:29
"Mambo ya siri ni ya BWANA, Mungu wetu; lakini mambo yaliyofunuliwa ni...
Mkuu, naona mapumziko ya X-Mass na Mwaka Mpya yamekufanya ukasahau matukio ya mwaka 2016.
Mimi nakumbuka hawa jamaa ktk taarifa yao mapema tu mwaka jana kabla ya kuanza kwa mvua za vuli walisema mvua za mwaka huu zitakuwa chache na wale jamaa wa maafa baadae nao walitoa taarifa kwa umma kuhusu...
Kweli kabisa Mkuu! Na taarifa za habari za CTN mara nyingi alikuwa anatangaza huyu Ephrahim Kibonde. Enzi hizo alikuwa kijana mdogo hata kwa umbo![emoji3]
Tatizo lako ni helicopter za Gwajima au Mwakasege au sadaka? Point yako ya kwanza ndio ilikuwa habari lakini haya mengine uliyoyaongezea hapo unaonekana una chuki za kidini. Hueleweki!
CTN walikuwa na movie fulani za kizamani sana, zilikuwa zinaitwa TNT Classic Movies. Nilikuwa napoteza muda sana kuziangalia hizi. [emoji3][emoji3][emoji3]
Nilipanda basi la Mwendo Kasi kutoka Kariakoo kwenda Ubungo asubuhi hii kwenye saa 2 na robo hivi.
Nimemshangaa Dereva wa basi namba T144DGW anavyoendesha kwa speed kubwa na kutoacha nafasi ya kutosha kati yake na mwenzake aliye mbele yake! Anafanya michezo kama dereva wa daladala, anamfuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.