Hi All Jamii Forum member
how do you do!!!
As we are signing of the 2013 year I have been compelled to bring to your attention on how the instructor of these most of the driving school in DSM do misbehave toward their trainees.
It has come to this effect after one of the female training...
Fakhi Jumaa
Note that it is not a matter of arguing without fact, if facts are there we need to use them to address the whole issue no matter what level of professionalism one has. It has become a tendency to some contributors to raise an issue without facts, and when you are told the facts you...
Hi All
I am very skeptical with some articles trying to portray Completely the truth of the Matter as this of TTCL, Its actually a scandal but the figures are not right. The truth of the Matters in a nutshell are:
Actual Selling price: $ 120 mil.
Initial Pay: $60 Mil
Final Pay...
Hapo imetajwa idadi ndogo sana ya watu kwenye msafara huo maana Rais anposafiri anakwenda na Timu kubwa sana kama watu 75, kwa vile kuna wataalam katika fani zote, Washauri wake, Security Team na hii hutangulia kama siku tatu hivi kabla, Pia kuna gharama kama za Malazi na mambo mengine...
HUDUMA YA VODACOM WILAYANI KIBONDO NI KICHEFUCHEFU
Hi Nyongeza kwa habari hiyo ya Airtel. Vodacom sasa wanakosa mwelekeo kwani huduma zao zimekuwa zikisuasua sana kwa zaidi ya miezi miwili sasa.
Mimi kama mteja nimejitahidi kwa kiasi kikubwa kabisa kutoa taarifa kupitia namba 15366 ambayo...
Please take this seriously and if possible keep a copy at HOME .!!!
Make a checklist; check whether this medicine is in your home or whether it has been recommended by your doctor
Please DO NOT use it
Please Read Very Carefully INFORM ALL YOUR FRIENDS & FAMILY MEMBERS
Asia and Africa has...
Ndugu wana JF
Kuna taarifa ambazo sijazithibitisha kwamba, Malkia wa Uingereza anamiliki Eneo Kubwa sana Ndani ya Nchi yetu, ambapo Hata Serikali yetu haina Mamlaka ya Kuingia.
Eneo linasemekana liko Mkoa wa Iringa
Naomba mwenye taarifa kamili anijuze
Maelezo ya uthibitisho ya Mheshimiwa Godbless Jonathan Lema (mbunge) juu ya kauli ya uwongo iliyotolewa na Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo P.K. Pinda (mbunge) wakati akijibu maswali kwa Waziri Mkuu katika kikao cha tatu cha mkutano wa pili wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tarehe 10...
Ndugu
Flash yako in Virus, Kirusi hicho kinabadirisha File attribute, kwa hiyo tafuta Anti-virus nzuri then scan Flash, pia tafuta SW inaitwa Attribute manager itumie hiyo kubadilisha attribute ya file zako zote ili zionekane kama kawaida
Sheria ya Ku-regulate Ipo Especially ile mpya ya 2010(EPOCA) na ina - enforce Infrastructure Sharing kwa lengo la kupunguza mlundikano wa Minara ktk eneo moja vile vile kupunguza Gharama za uwekezaji ktk Mawasiliano. Wazo la kuanzisha kampuni inayo deal na Minara ni Zuri lakini linahitaji...
Hao waliokosa Leseni hawakujua taratibu, TCRA hawezi kutoa leseni kama hakuna Masafa(Frequencies) na hizo aina ya Kampuni anazoongelea zinaitwa Virtual Operator they don't owner a network they just offer service by leasing Infrastructure from Big Operator kwa hiyo kama hao walokosa leseni labda...
Toa Contacts zako na uwe more specific kwenye hizo nafasi pamoja na uthibitisho, tamka vile vile kama kuna haja ya familialization visit, applicable language knowledges etc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.