Kwa kiasi chake
Ila mimi binafsi naishi nafanya kazi na wachaga jamaa huwaambii kitu kwenye pesa
Ila naukubali utaratibu wao, "Ukioa mwanamke wa kichaga ikifika mwisho wa mwaka ule msimu wa sikukuu si huwa wanarudi kwao....mwanamke akienda kwao lazima ataulizwa mwaka huu mmefanikiwa kwenye...
Umeongea ukweli, hii ilishawahi kunitokea
Mimi huwa sio muongeaji wa mambo yanayotokea ndani ila mwanamke alikuwa na tabia ya kuwapigia simu wajomba zake na kunisema vibaya kwa majirani ili mimi nionekane mbaya, nikarudisha kwao
Siku mjomba wake namueleza mambo yote yaliyotokea, akaniambia...
Hapana mkuu, hauhalalishi, ila hauruhusu kuwa mnyonge unapodhurumiwa haki yako
Unashinikiza udai haki yako, ndo maana nchi zinazoongozwa kiislamu matukio ya kigaidi hayaishi sababu kuu ikiwa wanaodhulumiwa hupigania haki yao kwa jasho na damu
Hata mimi siku nikiamua kudai haki yangu kwa...
Mkuu mimi mke wangu nilimruhusu afanye kazi ila saa kumi na mbili jioni awe home kunipikia (maana anajua kabisa chakula cha jioni anatakiwa apike yeye na sio dada wa kazi)
Siku akaniletea pigo zake kuniambia Boss alimsubirisha
Nikamuuliza, "Huyo Boss wako anakulipa sh ngapi kwa mwezi?"...
Hata mimi nilikuwa nasema hivyo hivyo
Ila nilipoishi nao ndo nikajua kwamba Waislamu sio magaidi na Ugaidi ni haramu katika Uislamu
Gaidi anaweza kuwa mtu yeyote yule hata asiye na Dini anaweza kuwa Gaidi
Hakuna Dini/Imani inayohalalisha ugaidi
Hivi mimi na wewe nani haelewi?
Umeniuliza kuhusu kuomba tenda ya ujenzi
Nami nimekujibu hiyo sio fani yangu
Fani yangu ni kuitumikia ID yangu
Vipi nije?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.