Search results

  1. M

    Stashahada za Juu zafutwa

    poleni waliochukua advanced diploma
  2. M

    Matokeo ya Form four 2007

    wanaotaka matokeo kwa kasi, waende udsm@ac.tz----faculties----faculty of education------------then necta. si unajua mama huyu ametoka pale?
  3. M

    Wabunge wakataa maelezo ya BoT,wataka taarifa yote ya ukaguzi

    hatuna bunge tanzania la kuibana serikali na taasisi zake
  4. M

    Baadhi ya Lecturers wa Mzumbe wana degree Feki - VC wao naye FEKI

    ishengoma usipoteze mda wako kuongea na akina kishazi ambao hawajui chochote. mtoto hakui kwa siku moja. huyu anayesema yawezekana hata pale penyewe hapajui. hatusemi tu kwa sababu sisi ni products za hapo, ila nisingeumia kama ningekuwa nimepita hapo. huo ni wivu tu tena wa hajabu sana. ila...
  5. M

    BoT Saga Unfolding: Ilikuwa Balali auwawe kwa sumu- Fununu !

    This Is The Time Now Tanzania Inaingia Kwenye Rennaissance Ambayo Ulaya Waliingia Mwaka1600 Sumu Unaweza Kwenda Nayo Kama Utapata First Aid Kwanza Kama Kupewa Maziwa, Kutumia Mkojo Ili Utapika Maana Haya Huwa Yanatuliza Makali. Mfano Mzuri Ni Magufuli Alipopewa Sumu Na Baadaye Kukimbizwa...
  6. M

    Sheria Ya Ndoa

    tunaangalia sheria ya ndoa inavyosema. mtoto wa miaka 15 ni mtoto kwa maana kwamba ukiLALA NAYE UTAKUWA UMEBAKA AWE AMEKUBALI AU LA. hii inatolewa na SOSPA=sheria za mabadiliko ya kujamiana. ila katika kufunga ndoa sheria inatoa mwanya kidogo kuwa unaweza kufunga ndoa ilimradi tu wazazi wake...
  7. M

    Kumbe hatuna wataalamu wa hili pia?

    nilipotea gafla na data ila sasa nimerudi; ninatanguliza heshima mbele, mtaalamu huyo ni yahya Hamad, ana masters mbili, na sasa hivi anachukua PHD pale udsm. masters ya kwanza ni hiyo ya arbitration ambayo kachukulia cambridge, na masters ya pili ni ya jurisprudence. yeye ni mzanzibar, ila...
  8. M

    News Alert: Mawaziri wote waitwa Dar

    unajua kila linapotokea jambo, lazima binadamu wa kawaida ajiulize. hiyo ndiyo falsafa ya binadamu. na mara zote binadamu anayetumia rasilimali yake atafanya hivyo. ninaona ni muhimu kuuliza na kujenga hoja kwanini wakati huu na sio jana. kwa nini iwe haraka na huku kuna kalenda yao ya kila...
Back
Top Bottom