Hii ni nchi ya Kijamaa.
You either become the cartel, mix politics and business or perish.
Multinationals karibu zote ninazozijua zimechomoa biashara zao Tanzania, sio kwa bahati mbaya..
Hizo laana wanaweza beba wahindi na waarabu wakidhan wanawatawala watu weusi.
Mtu mweusi akitaka kutoboa...
Hivi kwanini watu kama nyie mnaruhusiwa kuow seriously..
Shabby and stupid..
Sasa anatoka dam ni issue ya kuleta public...
Kwenye life yako ulishawahi sikia kitu kinaitwa infections and hormonal imbalances au unakaa kama ngedere kusubiria updates za Simba na Yanga...
Naweza kujibu kipande cha pili,
Kesi za kula njama mara nyingi ni ngumu sana kwa state attorneys kuzithibitisha pasi na kuacha Shaka, sasa mmoja huwa anachomolewa aeleze ukweli.
Na ndicho kinachotokea kwa Getrude.
Muda si mrefu huyo mama anakula kitanzi...
Karma kitu gan na wewe, watanzania na Iman za kijinga jinga.
Kwani huyo mtoto anahusikaje?
Kwanini huyo mzee aisumie yeye...
Life is a game of chance.... yeyote anaweza pata lolote..
Waamini wa nchi hii huwa wanatafuta excuse ya ku justify Imani potofu.
Karma would have sound better if at...
Wajiwekeze vip na wanadai haki yao..
Kwamba kutumikia taifa sio kujiwekeza?
Sasa mtu kafanya kazi miaka 30 anaambiwa alikuwa kibarua, wewe inakuingia akilini?
Unadhani Mwanajeshi wa kawaida anaweza jiwekeza kwenye nini cha kumpa fedha uzeeni?
Embu jaribu ku feel hiyo gap.
Tulia, wacha makeke.
Sikuiz technologia imekuwa mno, hayo mambo mnazungumza then mnaenda hospital, zipo dawa kwa maelfu ya tatizo kama hilo. Kumbuka ulitiwa mimba ukaachwa kwa kutaka mambo kwa pupa. Nenda taratibu.
Kuna mambo ukiwa mkubwa utajua ulikua bado unawaza kitoto.
Siasa sio kuongea kila kitu au kufanya kila kitu, dunia haipo hivyo.. Nyerere na ujanja wake wote alithubutu hili likamgharim na nchi kidogo imshinde.
Harakati za panya kuzungunguka bila malengo nazo hazisaidii kitu.
Sasa hao unaona...
Another Yes Man intellectual kicked off the bucket.
Sasa alikuwa anaogopa nini kusema ukwel, kulamba kote viatu na kufa kupo pale pale.
A waste of resource intellectual.
Hii ndio gharama ya Opposition kutetea vijana wa CCM.
They will always disappoint.
Angeandika bila kuweka neno " uzushi" na kusema "taarifa hizi si za kweli" angepungukiwa nini.
Safi lakini Hamas ipo Funded na Iran na some big Arab countries ukiacha Egypt kutokana na uhusiano wao na Muslim brotherhood.
Kwamba ni kwa namna gani Wapalestina walijua kuwa imeundwa na Jews na Bado wakaipigia majority vote mwaka 2006.
Kwamba Israel inaikalia Palestine Kimabavu na lengo...
Very informative.
Lakini hii ni baada ya Ottoman Empire kuangushwa na Brits na WW11 ndio akapewa Israel hiyo kipande ya Ardhi?
One of the most controversial topic....
Israel kwa sasa anafanya uhalifu wa kivita. na Palestine haina uongozi wa kueleweka... Hamasi inangangana toka 2006.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.