Vibaraka tu hao, hakuna cha utaifa, mbona Sumaye kajilimbikizia mali kama alikuwa anajali utaifa, Wanafiki tu hao, wanajifanya kujipendekeza kwa maraisi wao lakini hakuna kitu majimboni mwao
This is logical, mwanamke akitoa day one basi hakuna mwanaume anayeweza kukutafuta tena. Lakini akikataa kataa basi mwanaume atajitahidi kwa kila namna ili mradi mpaka afanikiwe. Atakupigia simu hata saa 6 usiku muda ambao kuna kuwa na gharama ndogo ya kuongea. anaweza kuongea na wewe hata saa...
Hilo jimbo linachukuliwa na Rose Kamili ambaye hivi sasa ni mbunge wa viti maalum wa CDM katika wilaya hiyo. Kikubwa walichofanya hayo magamba ni kuweka barabara ya lami ambayo inaunganisha Singida na Minjingu. Lakini hakuna kitu kingine chochote, kila kitu ni shida. Hilo Jimbo tayari ni mali ya CDM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.