Mimi nafikiri atkuwa ni mwekezaji tu kama alivyo yule wa Grumeti game reserve. Kuwekeza kwenye tourism sector ina afya kwa nchi ili mradi asivunje sheria.
Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.
Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti...
Watanzania wanapenda sana kulaumu sijui wamelogwa na nani, mradi ndio umeanza watu wanaanza kuleta much know...Waziri Bashe ni hazina kwa Taifa!! time will tell...
Sioni dalili yoyote ya ATCL kujiendesha kwa kwa faida na kushindana na makampuni mengine ukiwa itaendeshwa na Watz, Asilinia kubwa ya Waafrika hasa Wabongo wana weakness ya asili hata aende shule vipi! ndio maana shirika ili linaleta hasara kila mwaka. Napendekeza lifanyiwe overhaul na uongozi...
Ni sababu zipi za msingi zinafanya CDM wasijenge ofisi yenye hadhi??, Ni ni aibu sana kwa chama kikuu Cha upinzani kupanga kwenye kanyumba kama Ako....wajenge jengo lao zuri sio lazima liwe gorofa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.