Search results

  1. M

    Jeshi la polisi kwa hili tukio la leo mnawaonea CHADEMA

    Ukweli ni kuwa kitu chochote kinachofanywa kwa jina la ccm huwa ni sahihi tatizo ni pale linapofanywa na watu kwa jina la chama cha upinzani hasa chama kinachowasumbua..............lakini siku ipo kila kitu nkitajulikana na mambo yatakwenda sawia...... Ole waoooooooo
  2. M

    Siogopi kufa: Filikunjombe!

    Hongera sana kwa kuwa na msimamo, mkipatikana kumi tu wa namna hiyo mwaweza kuifikisha nchi pazuri........NCHI KWANZA CHAMA BAADAYEEEEEEEEE
  3. M

    Tugome au Tuandamane Ijumaa tarehe 28/04/2012. It's worth it..!

    Nadhani ni wakati muafaka kwa serikali yetu kuwa sikivu....kwa jambo hili yatubidi wananchi kuchukua hatua za haraka kuionesha serikali kuwa tumechoka
  4. M

    Dr Slaa kutikisa kanda ya Ziwa

    jamani ziara ya Mbeya itakuwa lini? tumewamisssss sanaaaaaaa
Back
Top Bottom