Tambi kuna aina 2, za pasta na zile nyeupe refu, ss kupka zile za pasta kwnz unakaanga mpk zibadlke rang kdg, alafu unachuja mafuta, den unatia tui/maziwa ya maji na hilik n sukar unakoroga na moto mdg mdg ili ziwive.. Na zikikauka tayar kwa kuliwa!!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kwenye mahusiano kuna mambo mng km kuaminiana kuheshimiana nk! Lkn zaid na zaid ni ukwel so me naona ni vyema kuwa mkwel 2! Mn za mwiz 40! Haha
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.