Kama watarusha Tbc hakuna atakae shangaa! wala kuwazingatia labda magamba makuukuu na wafuasiuwao! ushauri wa bure, waache ni kuwapotezea muda watanzania. Hilo halitawasaidia ng'oooo.
Nasubiri kusikia hoja zitakazo jengwa na namna zitakavyowasilishwa na viongozi hao wa CUF. Ndipo ntakapoweza kutathimini kama kweli wamedhamiria au wanaiga kama baadhi ya wadau wanavyo dai, au wanaajenda ya kukisaidia chama tawala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.