Furthermore Jaribu kuchunguza ndani ya udongo huenda kunawadudu wanatabia ya kufyonza majimaji kwenye mizizi ya Mmea was tikiti.....Hii nimeexperience hasa ikiwa shamba linaunyevunyevu mwingi ndo wadudu hupendelea sana
OOh!!! Mkuu hilo tu?
Mi nipo huku Iringa. Kuhusu shamba la miti ya mbao hususani pine naweza kukusaidia kwa kukuunganisha na kikundi kimoja kinacho jihusisha na uhamasishaji wa upandaji miti hasa mipaine: Yaani wao watakutafutia shamba, watapanda, na kukumilikisha chinni ya serikali ya kijiji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.