Hawa jamaa ni Bora ukutane na vibaka kuliko wao ukitana nao wanakusachi wanachukulia hela Wanakupeleka hadi police njee wanakuachia bila kujali wamekukamatia wapi wanakutoa ngarenaro wanakuja kukuachia centre.
Sehemu zote Mzinga wanaouza milipuko ni raia.Kama wanafanya hivyo na niya taasisi ya umma sio poa kwanza wanachelewasha mapato kutokana na milipuko kuchelewa kwisha ili waagize mingine huo ni uhujumu uchumi.Jamaa namshauri aende Nitro au kwa Yese.
Nikweli Uizii na vibaka haukuwepo tangu sungusungu imeanza imekuwa shida.Nahili genge enzi za Nkya akiwa mwenyekiti ndio lilisababisha Ccm kuchukiwa wanaiba wao wanakamata vijana wanaotoka Mirerani na hela zao, wanawasingizia wezi ili wahongwe.
JWTZ wapo juu kuanzia nyota moja wanapewa na Raisi police vyeo vyao wanapeana wenyewe.Anaeteuliwa na raisi ni IGP tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio muro wala sijawahi mkubaligi ila kwa hili la dampo nampongeza, katika kitu ambacho naona ataacha kumbukumbu ya maana Arumeru ni hi kero ya Dampo.
Haitapendeza kupita bila kumpongeza mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro,kwa kupambana na kuhakikisha Dampo la maji ya chai linafukiwa,leo nikuwa natokea moshi nimeona greda linafukia dampo hilo ambalo ni kero kwa abiria na watali wanaopita barabara ya Moshi arusha.Hakuna mkuu wa wilaya na Mkoa...
Huyu abdallah hana makosa alikuwa anatuma vifaa kutoka America kupitia kwa mjomba wake Rashid malima ambae alimfanya mkurugenzi wa kampuni.Kumbe alikuwa halipi kodi wala kulipa wafanyakazi matokeo yake kumbe ndio haya,Tatizo lingine nikuajiri watoto wanyumbani ambao ndio wanao muuza sasa.Magreda...
Kwenye jamii zetu za kiafrika watu kama pierre hawakosekani iwe kwenye arusi,msibani huwakosi kazi yao Kuchekesha na maulevi yao na hawana Shari na mtu hata chato wapo hata muheshimiwa asipowaona kwenye jambo lake hana raha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanamkosi ukiwashirikisha jambo lako lazima litaaribika tuu.bashite na baba yake hawanaga hekima wanajiona wao zaidi ya malaika utawala huu ukipita sijui bashite atakuwa mgeni wa nani?wanapenda wasifiwe wao tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu anasifika kwa kutapeli wajane, kama yeye hata kufa zile kesi alizokuwa anapewa na shemeji yake mkapa hakunaga tena kajaki utapeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.